1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uungwaji mkono wa AfD mashariki mwa Ujerumani

22 Agosti 2024

Wakati ukuta wa Berlin ulipoanguka mwaka 1989, historia iliandikwa. Ulifungua mlango kwa Ujerumani kuungana tena. Lakini takriban miaka 35 tangu wakati huo, tofauti zingalipo kati ya Ujerumani magharibi na mashariki. Na hudhihirika kwenye chaguzi. Kwa miaka mingi Ujerumani Mashariki imekuwa ngome ya chama cha mrengo wa kulia AfD. Je uungwaji wao mkono watokana na nini?

https://p.dw.com/p/4jn4h