1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ulemavu sio kikwazo

11 Machi 2022

Licha ya changamoto ya ujeongevu, msichana Charity anafanya kampeni za kuzuia ukatili kwa wanawake na watoto na kuwakutanisha vijana wa rika tofauti na kuzijadili changamoto zao na namna ya kuzitatua. Nia yake ni kuona ukatili kwa wanawake na watoto unaisha kabisa. Utamuunga mkono? Mtizame Msichana huyu Jasiri.

https://p.dw.com/p/48LSx