1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uingereza kujenga ukuta Calais

Mohamed Karama Dahman12 Oktoba 2016

Mpango wa ujenzi wa ukuta mkuu huko Calais nchini Ufaransa kuwadhibiti wakimbizi na wahamiaji wanaokimbilia Uingereza unazusha hofu ya kuifanya Ulaya kuwa bara lisiloingilika. Zaidi ya wakimbizi 6,000 wanaishi kwenye mazingira duni katika kambi ya Calais.

https://p.dw.com/p/2R9EK