1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uharibifu wa msitu wa mvua wa Kongo

Saleh Mwanamilongo / MMT16 Juni 2021

Kwenye makala ya Mtu na Mazingira tunaangazia uharibifu wa msitu wa mvua wa Kongo na tuhuma dhidi ya makampuni ya kimataifa. Kupitia DW anayekukaribisha ni mimi Saleh Mwanamilongo.

https://p.dw.com/p/3v1yE