1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 28.12.2017

Caro Robi
28 Desemba 2017

Urusi yaionya Marekani kutoingilia uchaguzi wake wa Rais unaotarajiwa mwezi Machi mwakani//Wagonjwa mahututi waanza kuondolewa katika eneo la Ghouta Mashariki nchini Syria//Tume ya uchaguzi nchini Liberia yasema Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais yatatangazwa leo.

https://p.dw.com/p/2q1bf