1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 17.07.2017

Yusra Buwayhid
17 Julai 2017

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel akataa kuweka kikomo cha wakimbizi wanaoweza kuingia Ujerumani. Watu wawili wauwawa na wanane wajeruhiwa katika ghasia za Venezuela. Senegal yasitisha kwa muda shughuli zote za michezo hadi utakapomalizika uchaguzi mwishoni mwa mwezi.

https://p.dw.com/p/2gdat