1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 04.12.2016

Yusra Buwayhid
4 Desemba 2016

Vikosi vya serikali ya Syria vyakamata asilimia 60 ya eneo la Aleppo mashariki. Korea Kusini yaandamana kwa wiki ya 6 ikimtaka Rais Park Guen-hye. Na, kisima kimoja cha mafuta chawaka moto Jamhuri ya Kongo.

https://p.dw.com/p/2Theu