1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

1 Februari 2024

Viongozi wa Umoja wa Ulaya kuirai Hungary kujiunga nao katika kuifadhili Ukraine//Mahakama ya ICJ yaitupilia mbali kwa sehemu kubwa kesi ya Ukraine dhidi ya Urusi//Na Marekani yadai wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran walishambulia jeshi lake Jordan.

https://p.dw.com/p/4buFl