1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

RAMALLAH: Mpalestina auawa na wanajeshi wa Israeli

16 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBPP

Mwanamgambo wa Kipalestina ameuawa na wanajeshi wa Israeli katika uvamizi uliofanywa mapema leo asubuhi,kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi.Kijana huyo wa miaka 21 alikuwa mwanachama wa Al-Aqsa Martyrs Brigade,kundi lenye mahusiano na chama cha Fatah cha Rais wa Wapalestina,Mahmoud Abbas.