Sudi Mnette amezungumza na makamo mpya wa kwanza wa rais wa Zanzibar, mtu ambae mara zote ametajwa kuwa na misimamo isiyoyumba, Othman Masoud Othman. Ameshika wadhifa huo baada ya kifo cha aliyekuwa makamo wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad mwezi uliopita. Sikiliza