Mwanaharakati Bonita Ntiamukama kutoka shirika lisilo la kiserikali la Faida Wote Pamoja, FAWOPA, anatafuta watoto wanaotokea kwenye mazingira magumu na mayatima na kisha kuwapatia msaada wa kiushauri, matibabu, vifaa vya shule na wakati mwingine hata fedha pale inapohitajika.