1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ni Simba ama Yanga leo?

8 Agosti 2024

Hayawi, hayawi sasa yamekuwa! Yamebakia masaa machache tu wa kushuhudia ule mtanange wa Kariakoo Derby uliosubiriwa kwa hamu huko nchini Tanzania kati ya watani wa jadi, Simba Sports Club na Young Africans katika nusu fainali ya kombe la Ngao ya Jamii. Nani atalia leo na nani atacheka? Tizama kwanza tambo za mashabiki. #Kurunzi

https://p.dw.com/p/4jFyS