Miongoni mwa ngoma zinazopigwa kwenye shughuli mbalimbali za kijamii, hasa harusi, visiwani Zanzibar ni ile ya Kidumbaki, ambayo ni mchanganyiko wa ala za muziki na ngoma halisi za Kiafrika.
https://p.dw.com/p/13Sbl
Matangazo
Salma Said anazungumzia ngoma ya Kidumbaki yenye asili ya visiwa vya Zanzibar, ikiwa ni mchanganyiko wenye asili za mataifa mbalimbali ndani yake.
Mtayarishaji/Msimulizi: Salma Said
Mhariri: Othman Miraji