1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sanaa

Mzee Chillo msanii mkongwe katika sanaa ya sasa ya Tanzania

Sudi Mnette18 Julai 2019

Katika kipindi cha Karibuni, safari hii msikilize Ahmed Olotu maarufu kama Mzee Chillo, msanii mkongwe anaetamba katika tasnia ya sasa ya filamu ya Tanzania. Zaidi ungana na Sudi Mnette.

https://p.dw.com/p/3MGtT