1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamtindo wa kwanza mwenye Vitiligo Tanzania

21 Mei 2019

Miko Deo ni Mtanzania, ana tatizo la ngozi liitwalo vitiligo lilioanza miaka 15 iliyopita. Mwanzoni alikuwa anaona aibu, lakini baadae alijiamini, akaamua kuwa mwanamtindo.

https://p.dw.com/p/3Ip5p