1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanaharakati afungua shauri kortini kupinga uhalali wa tozo ya miamala ya simu Tanzania

Rashid Chilumba10 Agosti 2021

Mwanaharakati Odero Charles Odero afungua shauri kortini kupinga uhalali wa tozo ya miamala ya simu, Tanzania. Odero anataka gharama hizo zipunguzwe au ziondolewe kabisa. Sikiliza mahojiano kamili na Rashid Chilumba.

https://p.dw.com/p/3ynFW