1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanadada mwanaharakati asotetereka Ghana

8 Juni 2021

Bila shaka kupiga hatua katika jamii ya kihafidhina ya Ghana iliyotawaliwa na mfumo dume, ingekuwa kazi ngumu. Lakini Akosua Nana Hanson hakuingiwa wasiwasi na hilo. Lengo lake lilikuwa ni kuyakiuka mazoea hayo. Kutumia mbinu zake kutetea usawa wa haki, Hanson anaikaribisha hatua nyingine ya utetezi nchini mwake.

https://p.dw.com/p/3uaUr