Mawaziri wa ulinzi na wakuu kutoka makao makuu ya kijeshi ya nchini Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Uganda wako mjini Bujumbura,Burundi kwa shabaha ya kuanzisha mikakati ya pamoja ya kupambana na makundi yanayoweza kuhatarisha usalama katika nchi hizi.
https://p.dw.com/p/CHG0
Matangazo
Mwandishi wetu Amida Issa kutoka Bujumbura ana ripoti kamili.