1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miriam Yohana binti mtunza familia

30 Desemba 2020

Licha ya maradhi ya kifafa alionayo, Miriam Yohana analo jukumu la kulea wadogo zake watatu, mama yake mwenye tatizo la Afya ya akili kutokana na babake kuwa mbali na familia kwa kipindi kirefu bila mafanikio. Khadija Khalifa amemtembelea na kuzungumza nae. #kurunzi

https://p.dw.com/p/3nNPs