1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mfahamu msichana anayeelimisha jamii kwa kutumia vitabu

16 Desemba 2022

Msichana wa miaka 16 anaielimisha jamii kwa kutumia vitabu huku akiwa na changamoto ya kifedha kwaajili ya kuchapisha kitabu chake ana imani kuwa watu wengi wataelimika kwa kupitia utunzi wake huku akizitoa fikra potofu juu ya msichana anayafanya haya yote akiwa na matarajio makubwa juu ya msichana katika jamii anatamani kuona jamii yake inaitambua thamani ya msichana. #MsichanaJasiri

https://p.dw.com/p/4L377