1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mbiu ya Mnyonge- Kadhia ya wakimbizi Tanzania

21 Oktoba 2021

Kuvunjika kwa amani kumekuwa na mchango mkubwa kwa watu kuyakimbia makazi au nchi zao na kwenda kutafuta hifadhi katika nchi nyingine. Wakimbizi wamekuwa wakiyatafsiri maisha ya ukimbizi kama kuzuizini ambako haki mbalimbali hupungua au kupotea. Hali hii inapelekea wengi wa wakimbizi kupiga kelele juu changamoto zao.

https://p.dw.com/p/41xoS