Chanjo dhidi ya Corona aina ya Sputnik V yaanza kutolewa Urusi, Viongozi wa upatanishi wa Uingereza na Umoja wa Ulaya watoa wito kwa viongozi kuyaokoa mazungumzo ya biashara na Watu 18 wafariki baada ya gesi ya kaboni kuvuja katika mgodi wa makaa ya mawe nchini China