1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 13.05.2017

Yusra Buwayhid
13 Mei 2017

Burundi inatimiza miaka miwili tangu jaribio la mapinduzi lililoshindwa kumuondoa madarakani Rais Pierre Nkurunziza. Kenya inajizatiti kufikia malengo ya maendeleo ya milenia kwa kuhakikisha maslahi ya watoto wanaoishi mazingira magumu yanaafikiwa. Ligi ya Ujerumani-Bundesliga leo hii inangia katika mzunguko wake wa 33, ambapo viwanja kadhaa vitawaka moto.

https://p.dw.com/p/2cuBE