1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 09.09.2023

Sylvia Mwehozi
9 Septemba 2023

Miongoni mwa taarifa utakazozisikia ni pamoja na mkutano wa kilele wa kundi la mataifa tajiri na yale yanayoinukia kiuchumi la G20 unafunguliwa leo nchini India huku migawanyiko kuhusu vita nchini Ukraine ikitarajiwa kujitokeza kwa mara nyingine miongoni mwa nchi wanachama.

https://p.dw.com/p/4W8Zh
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Deutsche Welle Logo
Picha: Marius Becker/dpa/picture alliancePicha: Marius Becker/dpa/picture alliance

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)