1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 08.04.2017

Sylvia Mwehozi
8 Aprili 2017

Hali imeendelea kuwa tete kuhusu eneo la Mashariki ya Kati, kufuatia hatua ya Marekani kukishambulia kituo cha wanaanga cha jeshi la Syria jana alfajiri. Chama tawala cha Afrika Kusini ANC huena kikaanguka katika uchaguzi mkuu ujao. Kiongozi wa zamani wa Gambia Yahya Jammeh amekuwa akiishi maisha ya ukimya tangua aondolewe madarakani mwezi Januari huko Banjul.

https://p.dw.com/p/2auar