1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mapambano dhidi ya mila ya ukeketaji

Veronica Natalis (HON)8 Februari 2021

Msichana Jasiri hii leo unakupeleka hadi huko Umasaini nchini Tanzania, ambako bado mila ya ukeketaji inaendelezwa. Na hii leo kipindi hiki kitaangazia kwa kina harakati za kukabiliana na mila hiyo inayopigwa vita kote ulimwenguni. Ni harakati gani hizi? Ungana na Veronica Natalis.

https://p.dw.com/p/3p2eF