1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Magwiji wa kandanda Afrika wakutana Kigali

17 Oktoba 2022

Mwishoni mwa juma jijini Kigali kulifanyika mkutano wa kuandaa fainali ya kombe la dunia kwa wachezaji maveterani (Veteran Clubs World Championship) ambayo imepangwa kufanyika nchini Rwanda Mei 2024. Roger Milla, Khaliloe Fadiga na Patrick Mboma ni miongoni mwa majina yaliyovuma kwenye mchezo wa kandanda yaliyokuwa mjini Kigali. Msikilize Christopher Karenzi kutoka Rwanda.

https://p.dw.com/p/4IIHj