Kiswahili chapotea Burundi
20 Agosti 2013Matangazo
Hamida Issa anaangalia kuinuka na kuporomoka kwa utamaduni wa Mswahili nchini Burundi. Kusikiliza makala hii, fadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Hamida Issa/DW Bujumbura
Mhariri: Mohammed Khelef