1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Familia ya kada wa upinzani aliyeuawa Tanzania yateta

11 Septemba 2024

Hivi karibuni nchini Tanzania kumekuwa na matukio ya utekaji watu, kujeruhiwa na wakati mwingine kuuawa. Tukio la hivi karibuni linamhusu kada wa upinzani Ali Kibao aliyekutwa amefariki baada ya kutekwa kabla ya umauti. Sudi Mnette amezungumza na mtoto wake na mjane wake bi Amina Kibao kuhusu kifo cha mumewe katika makala ya Kinagaubaga.

https://p.dw.com/p/4kUoN