1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maishaTanzania

Je unasoma masharti wakati wa manunuzi mtandaoni

14 Agosti 2024

Sema Uvume je umeshakutana na masharti na makubaliano ama kwa kimobo Terms and Agreements wakati unaponunua vitu mitandaoni? Je, unayasoma na kuyaelewa masharti hayo? Athari za kutoyasoma ni zipi? Sema Uvume inakupa majibu mtayarishaji ni Suleman Mwiru.

https://p.dw.com/p/4jSb9