1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jamii ya Maasai yalia na mizozo ya ardhi

VERONICA NATALIS MMT17 Juni 2021

Mizozo ya umiliki wa ardhi na mipaka ya vijiji katika jamii ya Maasai nchini Tanzania imeendelea kushuhudiwa kwenye eneo hilo. Kwenye makala ya mbiu ya Mnyonge utasikia visa vya kusikitisha miongoni mwa watu wa jamii hiyo. Ungana na Veronica Natalis aliyeandaa makala hii.

https://p.dw.com/p/3v5LU