1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel na Hamas wameanza tena mapigano

4 Desemba 2023

Idadi ya waliowawa katika vita Ukanda wa Gaza imeongezeka na kufikia Wapalestina 15,899. Wizara ya Afya ya Hamas inayodhibiti eneo hilo inadai asilimia 70 ya hao ni wanawake na watoto. Tazama vidio yenye kuonesha hali ya sasa ya mapigan

https://p.dw.com/p/4ZlWu