1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Harambee Stars yarudi dimbani baada ya marufuku ya FIFA

27 Machi 2023

Baada ya marufuku kutoka kwa shirikisho la Soka Duniani FIFA katika kandanda ya kimataifa, Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars itashuka dimbani hapo kesho kuchuna na Iran katika uga wa Azadi mjini Tehran. Kwa haya na mengine mengi karibu viwanjani.

https://p.dw.com/p/4PKNs