1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Habineza: Nilijitabiria kupata angalau asilimia 55 ya kura

24 Julai 2024

Aliyekuwa mgombea wa uchaguzi wa rais uliomalizika nchini Rwanda Frank Habineza aliyeibuka nafasi ya pili kwa kupata asilimia 0.5 amezungumza na Rashid Chilumba katika Kinagaubaga. Ameeleza kuwa alikuwa na matarajio ya kupata asilimia nyingi katika uchaguzi huo.

https://p.dw.com/p/4ielL