1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gladbach haitamuuza Sommer kwa Bayern

Josephat Charo
7 Januari 2023

Klabu ya Borussia Moenchengladbach imesema haitamuuza mlindamlango Yann Sommer kwa mabingwa watetezi wa Bundesliga Bayern Munich. Juhudi za Bayern kulijaza pengo la Manuel Neuer bado ziko mashakani. Sikiliza mahojiano kati ya Naomi William na Josephat Charo wa dawati la michezo la DW Kiswahili.

https://p.dw.com/p/4LrLt