1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dhulma dhidi ya waandishi habari Kenya

29 Agosti 2024

Katika makala ya Mbiu ya Mnyonge leo, mwandishi wa DW Musa Naviye anaangazia dhulma walizopitia waandishi wakati wa maandamano ya kuipinga serikali nchini Kenya. Baadhi ya waandishi walipigwa risasi na kupitia madhila mengine mikononi mwa maafisa wa polisi wakati walipokuwa wakifanya kazi yao ya kuuhabarisha umma.

https://p.dw.com/p/4k2nE