Kazi ni kazi, lakini unapoifurahia kazi yako, basi inaridhisha zaidi. Na wakati kazi yako ni kutokana na kipaji maalum mfano mwanadada huyu kutoka Tanzania anayeonesha umahiri wake katika densi na sarakasi, huwa huna budi kujivunia. Unazungumziaje kipaji cha Mariam Nassoro kwenye vidio hii?