1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Deniz Yücel

Deniz Yücel ni mwandishi habari wa Ujerumani mwenye asili ya Uturuki na pia mchapishaji. Amekuwa mchangiaji wa magazeti kadhaa ya Ujerumani, na hasa magazeti ya Die Tageszeitung na Die Welt.