1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chama kikuu cha upinzani Tanzania chajiondoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa

8 Novemba 2019

Chama kikuu cha upinzani Tanzania Chadema kimetangaza kujitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Lakini vyama vingine 11 vya upinzani vimesema vitashiriki uchaguzi huo. Chadema kinadai kutotendewa haki. Yakub Talib na maelezo zaidi.

https://p.dw.com/p/3Si5d