1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwenyewe asema hajutii

Mohammed Khelef20 Aprili 2015

Chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar kimemvua uanachama mmoja wa waasisi wake, Mzee Hassan Nassor Moyo, ambaye mbali ya kuwahi kushikilia nyadhifa mbalimbali kwenye Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na Baraza la Mawaziri la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiye pia aliyeongoza Kamati ya Maridhiano miaka mitano iliyopita ambayo ilifanikiwa hatimaye kuasisi muundo wa serikali ya pamoja.

https://p.dw.com/p/1FB0m