1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CCM kakanusha madai yaliyotolewa na CUF

9 Agosti 2007

Katibu mkuu wa chama tawala cha CCM huko Tanzania, Yusuf Makamba amekanusha madai yaliyotolewa na mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CUF,Profesa Ibrahim Lipumba kwamba CCM hiyo ndio inayosusuwa na kuchelewesha kupatikana ufumbuzi kwenye mazungumzo ya kuuondosha mpasuko wa kisiasa wa visiwani Zanzibar.

https://p.dw.com/p/CH9q

Alisema haina haja ya kuwaingiza wapatanishi wa nje kusaidia kuyanusuru mazungumzo hayo yasivunjike, kama inavotakiwa na CUF. Alisisitiza kwamba mazungumzo yanaendelea.

Othman Miraji alizungumza na Bwana Yusuf Makamba.