1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Baba amuua mwanae na kurusha video live Facebook

Yusra Abdallah Buwayhid2 Mei 2017

Katika Sema Uvume utasikia juu ya mtoto wa miezi 11 huko Thailand aliyeuliwa na Baba yake mzazi ambaye aliyanasa mauaji hayo live katika mtandao wa Facebook. Watumiaji wa mtandao huo waliyashuhudia mauaji yako moja kwa moja kutoka katika simu zao za mikononi pamoja na kompyuta, kabla ya Facebook kuchukua hatua na kuifuta vidio hiyo.

https://p.dw.com/p/2cDFH