1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Abiy Ahmed ziarani Sudan

7 Juni 2019

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed yuko mjini Khartoum kukutana na majenerali wa kijeshi na viongozi wa maandamano ili kutafuta ufumbuzi wa hali ya kisiasa nchini Sudan

https://p.dw.com/p/3K1sm