Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Vikosi vya Israel vimefanya mashambulizi ya anga huko Gaza katika vita vyake dhidi ya wanamgambo wa Hamas/ Wakaazi wa mji wa Nairabi huko Kenya wamejikuta katika hali ngumu leo Jumatano kufuatia mafuriko yaliyosababishwa mvua kubwa zilizonyesha