Shirika la Kimataifa la fedha duniani IMF limesema limesitisha mkopo wa dola bilioni 1.5 kwa Kenya mwezi Juni mwaka jana baada ya kushindwa kuafikiana juu ya upunguzaji wa nakisi ya bajeti ya taifa// Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, alipoandaa kiapo cha yeye kutawazwa kama ‘rais wa watu’ mjini Nairobi tarehe 30 Januari, baadhi ya watu walikiona kitendo hicho kama cha kipuuzi.