1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.03.2021 Matangazo ya Asubuhi

20 Machi 2021

Kamati Kuu ya chama tawala nchini Tanzania,(CCM) inakutana leo Jumamosi jijini Dar es salaam, katika ajenda ambazo bado hazijawekwa wazi. Lakini kikao hicho kinafanyika siku moja tu baada ya taifa hilo kumpata Rais Mpya, Samia Suluhu Hassan aliyeapishwa jana baada ya mtangulizi wake, John Magufuli kufariki dunia wiki hii,

https://p.dw.com/p/3qtmU