Watu watatu wauawa katika maandamano ya kupinga utawala wa Taliban/ IAEA: Iran yazidisha urutubishaji urani hadi asilimia 60/ Mkutano wa 41 wa kilele wa marais wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC, umemalizika mjini Lilongwe, Malawi/ Hali nichini Haiti baada ya tetemeko kubwa la ardhi/ Iringa: Mradi wa Fahari Yetu umezindua maonesho mapya ya historia na tamaduni za mwafrika