1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.07.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S11 Julai 2024

Kwenye Taarifa ya Habari Asubuhi hii utasikia pamoja na mengine, Washirika wa NATO wakubaliana kuidhibiti Urusi na kuiongezea msaada Ukraine Umoja wa Mataifa wasema wanajeshi kati ya 3,000 na 4,000 wa Rwanda walipelekwa mashariki mwa Kongo na kushirikiana na M23 na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa aviomba vyama kujiunga kuunda serikali thabiti.

https://p.dw.com/p/4i8F0
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)