1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
UchumiUjerumani

Utafiti: Kiwango cha Umasikini Ujerumani bado kipo juu

28 Machi 2024

Ripoti mpya ya makundi ya ustawi wa jamii Paritätischer Gesamtverband inaonyesha kuwa kiwango cha umaskini nchini Ujerumani bado kipo juu. Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa asilimia 16.8 ya watu wanaishi katika umasikini, hiyo ikiwa ni takriban watu milioni 14.2. Kwa mujibu wa ripoti hali ya umasikini imewaathiri watoto pamoja na kundi la wastaafu.

https://p.dw.com/p/4eEQz