Mzozo wa uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine umekuwa na athari katika kila pembe ya dunia, na Afrika Mashariki haijaachwa kando. Mfumko wa bei unaoshuhudiwa katika mataifa ya ukanda huo yana uhusiano wa moja kwa moja na mzozo huo. Ama kweli dunia imegeuka kijiji. Vidio hii ya #Kurunzi inamulika hali ilivyo mjini Dar es Salaam.